iqna

IQNA

mufti wa oman
Watetezi wa Palestina
IQNA-Mufti Mkuu wa Oman kwa mara nyingine amesisitiza umuhimu wa Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel na akasema kuukomboa ni jukumu la Waislamu wote duniani.
Habari ID: 3478232    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/22

Kadhia ya Palestina
IQNA - Mufti Mkuu wa Oman amewakosoa wale wanaojaribu kudhoofisha harakati za mapambano ya Kiislamu (muqawama) za Wapalestina dhidi ya jinai za utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3478014    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/09

Chuki dhidi ya Uislamu
MUSCAT (IQNA)- Mufti wa Oman ametoa wito wa kususiwa bidhaa za Sweden kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Uswidi (Sweden).
Habari ID: 3477228    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/02

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) - Mufti Mkuu wa Oman aliutaka Umma wote wa Kiislamu kusimama pamoja na taifa la Palestina katika kukabiliana na uchokozi wa utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3477039    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/24

Mufti wa Oman
TEHRAN(IQNA)- Mufti wa Oman Sheikh Ahmad bin Hamad Al-Khalili amesisitiza haja ya kudumishwa amani na utangamano katika eneo la Ghuba ya Uajemi na kubainisha kwamba, makubaliano na mapatano yaliyofikiwa kati ya Iran na Saudi Arabia yameutia hofu na kiwewe utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3476726    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/18

Njama dhidi ya Al Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Mufti wa Oman Sheikh Ahmed bin Hamad al-Khalili amesema, mwenendo ulioanzishwa na baraza la mawaziri la utawala haramu wa Kizayuni lenye misimamo ya kufurutu ada wa kuuvamia Msikiti wa Al-Aqsa unamaanisha kutangaza vita dhidi ya Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3476409    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/15

Upinzani dhidi ya Israel
TEHRAN (IQNA)- Mufti Mkuu wa Oman ametangaza kuafiki na kuunga mkono mpango wa bunge la nchi hiyo wa kususiwa utawala haramu wa Israel unaotenda jinai kila uchao huko Palestina.
Habari ID: 3476339    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/01

Kombe la Dunia la Qatar
TEHRAN (IQNA) - Mufti mkuu wa Oman amewashukuru Waislamu na wale wote ambao wamekataa kuzungumza au kuhojiwa na na waandishi wa habari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakati wa Kombe la Dunia la 2022 linaloendelea nchini Qatar.
Habari ID: 3476163    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/28